Hii Hapa Droo Kamili Hatua ya 16 Bora AFCON 2023

0

Droo ya hatua ya 16 bora ya Kombe la Mataifa Afrika AFCON 2023 imetoka huku wenyeji, Ivory Coast wakikutanishwa dhidi ya Mabingwa Watetezi, Senegal.

Nyota wa Yanga SC, Stephanie Aziz Ki na golikipa Djigui Diarra wanatarajiwa kuchuana katika hatua hiyo baada ya Mali ya Djigui Diarra kukutanishwa dhidi ya Burkina Faso ya Stephanie Aziz Ki.

DROO KAMILI

JANUARI 27

Angola vs Namibia

Nigeria vs Cameroon

JANUARI 28

Guinea ya Ikweta vs Guinea

Misri vs DR Congo

JANUARI 29

Cape Verde vs Mauritania

Senegal vs Ivory Coast

JANUARI 30

Mali vs Burkina Faso

Morocco vs Afrika Kusini

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *