SERIKALI ITAENDELEA KUIPA KIPAUMBELE TMA – WAZIRI MWIGULU
Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba ameipongeza Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kuahidi kuwa Serikali kupitia...
USHIRIKIANO TANZANIA NA IFAD KUJENGA UCHUMI SHINDANI WA VIWANDA
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika Mashariki...
WAZIRI SILAA AKUTANA NA BALOZI WA FINLAND NCHINI TANZANIA, THERESA ZITTING
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa (Mb.), amekutana na Balozi wa Finland nchini Tanzania, Mhe....
KAMATI YA BUNGE YA MAJI NA MAZINGIRA YAIPONGEZA TANGA-UWASA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira kiongizwa na mwenyekiti wake Mhe Jackson Kiswaga imetoa pongezi kwa Mamlaka...
BASHE ATANGAZA NEEMA SEKTA YA UMWAGILIAJI SHINYANGA
Waziri wa Kilimo Mhe. Husein Bashe (mb) ametembelea mradi wa Umwagiliaji wa Nyida uliopo mkoani Shinyanga wa Tume ya Taifa...
SERIKALI YAVUNA TRILIONI 1.8 KUPITIA SEKTA YA UZIDUAJI NCHINI
SERIKALI imepata jumla ya shilingi Trilion 1.877 kutoka kwenye kampuni 44 zilizolinganishwa katika sekta ya madini, mafuta na gesi ikiwa...
MWANASHERIA WA YANGA AFUNGUKA SAKATA LA KAGOMA ATOA TAMKO
MKURUGENZI wa Sheria wa Yanga, Simon Patrick leo Septemba 12, 2024 amethibitisha kuwa timu yao ilikamilisha mchakato wa kumsajili Yusuph...
UWEPO WA SGR UNAASHIRIA UTOSHELEVU WA UMEME NCHINI – DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema safari za treni za Reli ya Kisasa (SGR) zinazotumia...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAJI NA MAZINGIRA YAWASILI MKOA WA TANGA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira mapema leo imewasili mkoani Tanga kwa kazi ya kukagua utekelezaji wa...