DAH! MKE WANGU KANITIA SANA AIBU JAMANI

0

Jina langu Emma kutokea Lindi, baada ya mke wangu kuanza tabia ya kuninyima tendo la ndoa kwa kisingizio kuwa amechoka na shughuli za kila siku, nilianza kupata wasiwasi kuhusu mwenendo wake. Kama mume wake nilijaribu kukaa naye chini kumuuliza kuhusu hilo na kuniambia hakuna chochote kilichobadilika kwake bali ni wivu wangu wa kimapenzi ndio unanitesa na kunitaka kusimama kama mwanaume.

Binafsi majibu yake sikuridhika nayo hata kidogo, tulivutana sana kuhusu jambo hilo hadi kufikia hatua ya kutaka kipigana, hakuna kitu ambacho angesema nikamuelewa ndani ya nyumba ile. Siwezi kusahau wakati ambao mke wangu angenitumia SMS kuwa hawezi kurejea nyumbani kutokana ametingwa na majukumu mengi ya kikazi na atarudi baada ya siku mbili au tatu hivi.

Kilichokuwa kinaniumiza zaidi akili ni kwamba akiwa huko alipoita kazini, alikuwa hapokei simu yangu ni hadi pale atakapojisikia yeye kukupigia na ukimuuliza kwanini hapokei simu anakujibu alikuwa mbali nayo. Hatimaye tabia hiyo ilinichosha, nilianza kutafuta katika mtandao mbinu ya kumthibiti na kumtuliza mwanamke, nilijikuta nimeingia kwenye tovuti ya Kiwanga Doctors kutokea Migori nchini Kenya.

Katika kusoma kwangu katika tovuti ile nikagundua watu hawa wamekuwa wakitoa huduma ya kumzuia mke au mume kuwa na mchepuko au mpango wa kando na tayari wamesaidia watu wengi ukanda wa Afrika Mashariki.

Niliamua kuchukua namba ya Kiwanga Doctors +254 116469840 kutoka kwenye tovuti hiyo na kuwasiliana naye, nilizungumza naye kwa urefu na kunihakikishia ndani ya siku tatu nitapata jibu la anayechepika na mke wangu hadi kufikia hatua ya kuninyima tendo la ndoa. Baada ya siku mbili nilipigiwa simu na namba ngeni na mtu aliyejitambulisha kuwa ni Polisi, aliniambia mke wangu wamefumaniwa na mwanamke mwenzake kwa kutembea na mume wa mtu. Nilienda hadi Polisi ambapo niliwakuta mke wangu na yule jamaa wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi huku wakihojiwa.

Mwanamke wa yule jamaa alianiambia mume wake amekuwa haonekani nyumbani hata wiki nzima akidai ana safari ya kikazi lakini sivyo, kumbe ndio wakati anakuwa na mke wangu. Nami nilimueleza kuwa mke wangu naye alikuwa hivyo, basi kuhusu jambo hilo tukaamua kuyazungumza kama ndugu ya kuyamaliza na kila mtu kurejea nyumbani na mtu wake.

Na tangu wakati huo mke wangu katulia kama maji ya mtungi ndani ya ndoa, asante sana Kiwanga Doctors kwa kuiponya ndoa yangu pamoja na ile ya mwenzangu maana tangu wakati ule mke wangu ametulia sana na kuniheshimu kama mume maana aliniona bado nampenda.

Ni watu wengi hadi sasa wamepata mafanikio na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba +254 116469840 au tembelea tovuti yao kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *