RAIS SAMIA ASEMA WAZIRI WA MAJI NA KATIBU MKUU WAKE NI WACHAPAKAZI, AWAPA MIEZI 3 WANANCHI WAPATE MAJI

0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Eng Mwajuma Waziri ni wachapakazi sanana wanafanya kazi nzuri hivyo kuwapa miezi mitatu kuhakikisha maji yanapatikana ndani kwa wakazi wa Mtyangimbole kwani tayari mradi huo umefikia asilimia 50% na wananchi wana matumaini makubwa sana.

Mradi huo uliogharimu kiasi cha Bilion 5.5 na utakaohudumia wananchi zaidi ya elfu kumi na nne umewekewa jiwe la msingi na Mhe Rais Samia leo tarehe 24 Septemba 2024 kwa niaba ya miradi 30 inayoendelea kutekelezwa vijijini Mkoani Ruvuma.

Facebook

Leave a comment

Continue Reading

//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Email address: 

Follow US

© 2024 MILLARD AYO. All Rights Reserved. Designed by Ayo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *