UBALOZI WA MAREKANI WATOA TAMKO MAUJI YA KIONGOZI WA CHADEMA

0
Capture 2024-09-09 15.58.50

Marekani inaungana na wale wanaotoa wito wa uchunguzi huru, wa uwazi, na wa haraka kuhusu utekaji unaoendelea na mauaji ya Ali Mohamed Kibao. Mauaji na kupotea kwa watu, pamoja na kukamatwa, kupigwa, na juhudi nyingine za kuwaengua raia katika uchaguzi zilizotokea mwezi uliopita, havipaswi kuwa na nafasi katika demokrasia. Vitendo hivi vya kikatili vinadhoofisha haki zinazohakikishwa na Katiba ya Tanzania. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya Bwana Kibao na kwa taifa kwa kupoteza maisha yake na uongozi wake wa kiraia.

The United States joins those who call for an independent, transparent, and prompt investigation into ongoing abductions and the murder of Ali Mohamed Kibao. Murder and disappearances, as well as last month’s detentions, beatings, and other efforts to disenfranchise citizens ahead of elections, should have no place in a democracy. These brutal acts undermine rights guaranteed by the Tanzanian Constitution. We extend our deepest condolences to the family of Mr. Kibao and the country for the loss of his life and civic leadership.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *