PROF. MKENDA KUWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA ELIMU KESHO MEI 07,2024
![](https://uhondomediatz.com/wp-content/uploads/2024/05/IMG-20240506-WA0114-1024x682.jpg)
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda kesho Ijumanne, Mei 07, 2024 anatarajiwa kuwasilisha Bajeti ya Wizara ya Elimu kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Hotuba yake itajumuisha utekelezaji na mafanikio yaliyopatikana kwenye Sekta ya Elimu kupitia Bajeti ya Elimu kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 pamoja na Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025.
![](https://uhondomediatz.com/wp-content/uploads/2024/05/IMG_20240506_172442_957-1024x1024.webp)